Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga amesema kuwa hadi kufikia Januari, 2025, Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA), imekamilisha upelekaji wa umeme kwenye vijiji vyote 12,318 nchini na ...
MBUNGE wa Iringa Mjini (CCM), Jesca Msambatavangu, amehoji serikali imejipangaje katika kudhibiti matukio ya wizi wa watu au utekaji nchini. Akiuliza swali la nyongeza bungeni jana, Mbunge huyo ...
Waasi wa M 23 kwa mara ya kwanza wameandaa mkutano wa hadhara jijini Goma kuwatambulisha viongozi wake, baada ya kuingia katika jiji hilo wiki moja iliyopita na kusababisha makabiliano makali na ...
MSF na mamlaka za Sudan wapiganaji wa RSF walihusika katika shambulio la siku ya Jumamosi kwenye mji wa Omdurman, ambapo watu ya 60 waliuawa na wengine zaidi ya 100 walijeruhiwa, madai ambayo hata ...
Looking for information on Nduli Airport, Iringa, Tanzania? Know about Nduli Airport in detail. Find out the location of Nduli Airport on Tanzania map and also find out airports near to Iringa. This ...
Wakati M23 walipowasili mjini Goma, hawakupata upinzani mkali kutoka kwa jeshi la serikali ya DRC. Umoja wa Mataifa unakadiria kuwa zaidi ya watu 700 wameuawa tangu M23 kuingia Goma. Aidha mamia ...
6 Februari 2025 Majengo ya kihistoria mjini Mosul, yakiwemo makanisa na misikiti, yanafunguliwa tena kufuatia uharibifu wa miaka mingi uliotokana na kutekwa kwa mji huo wa Iraq na kundi la Islamic ...
Namungo ilipokea kipigo hicho ikiwa ugenini kwenye Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi, mjini Tabora huku ikitangulia kupata bao la mapema kupitia nahodha wake, Jacob Massawe kabla ya wenyeji kupindua meza na ...
Huko Goma, hali imeripotiwa kuwa tulivu ambako Bahati Hamuli Genolé mkimbizi kwenye kambi namba 8 ya CEPAC-mjini Goma anakumbuka ilivyokuwa hadi kujikuta hapa, akisema, “tukasikia wamefika na Sake, ...
Handeni. Baraza la madiwani la Halmashauri ya Mji wa Handeni, mkoani Tanga limeazimia na kumuagiza mkurugenzi wa halmashauri hiyo kuifunga kwa siku 14 ofisi ya ofisa ardhi kwa kushindwa kutatua ...
Kutokana na kupanda kwa bei na kuongezeka kwa wakimbizi, lishe ya msingi imekuwa nje ya uwezo wa wengi, na mamia ya maelfu ya watu mjini humo wanaweza kukumbwa na njaa kali, kulingana na shirika la ...
Akisema motocycliste anamaanisha muendesha pikipiki, focaliser au centre ville, anamaanisha kubaki mjini tu, na certitude uhakika. "Kama muendesha pikipiki (motocycliste) ikiwa popote pale naeza ...
Some results have been hidden because they may be inaccessible to you
Show inaccessible results