Leo Jumapili Februari 9, 2025 Namibia, Afrika na dunia kwa ujumla imeamka na taarifa mbaya ya kifo cha mwanamema na ...
Mahakama yaahirisha hadi Feb. 17 kusubiri upelelezi. MAHAKAMA ya Wilaya ya Iringa imeahirisha kesi ya mauaji ya aliyekuwa Katibu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Kilolo, Christina Kibiki hadi Fe ...
MBUNGE wa Iringa Mjini (CCM), Jesca Msambatavangu, amehoji serikali imejipangaje katika kudhibiti matukio ya wizi wa watu au ...
Hata hivyo, Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson amemtaka kuleta swali hilo kama msingi ili Serikali iweze kujibu kikamilifu.
KIKUNDI cha Team Thamani kilichoundwa na wasikilizaji zaidi ya 700 wa vipindi vya mtangazaji Eddo Bashir wa redio Ebony FM ya ...
Juhudi za kushinikiza mhamo kutoka matumizi ya nishati chafuzi ya magari na kuhamia kwenye matumizi ya magari ya umeme ya nishati safi zimeanza kuonekana. Idadi ya magari ya umeme inaripotiwa ...
Freeman Mbowe, ambaye amekuwa Mwenyekiti wa chama hicho kwa kipindi cha miongo miwili, kupitia mtandao wake wa X zamani ukiitwa Twitter amempongeza mrithi wake na mkamu wake wa zamani Tundu Lissu ...
Hakuna tarehe iliyotangazwa ya mkutano mpya wa mawaziri wa mambo ya nje mjini Luanda, Angola, chini ya mwamvuli wa Rais Lourenco. Kwa wakati huu, makubaliano ya amani yanasalia katika hatua ya rasimu.
“Vifaa nilivyopata vitanisaidia kuongeza uzalishaji na kipato changu,” alisema mmoja wa walengwa, Petro Valonge, kijana kutoka Iringa Mjini. Naye Prisca Kaile alisema mradi huo si tu umewalenga wao ...
Katika taarifa iliyotolewa mjini Kinshasa MONUSCO imesema “Waasi wa M23 waliuteka mji wa Masisi siku ya Jumatatu wiki hii, na kusababisha kukimbia kwa watu wengi kutokana na mashambulizi mapya ya ...
Shirika la Hali ya Hewa Duniani, WMO, lilitangaza hayo jana Jumatatu mjini Geneva. Kwa mujibu wa wataalamu wa Umoja wa Mataifa ni kwamba mwaka huu ulizidi ule kwa nyuzijoto 0.3. Katibu Mkuu wa ...
Mawaziri hao wamekutana leo mjini Dar Es Salaam, Tanzania katika kikao kinachotangulia mkutano wa marais wa jumuiya hizo utakaofanyika hapo kesho ili kutafuta suluhu ya mgogoro huo. Congo na ...
Some results have been hidden because they may be inaccessible to you
Show inaccessible results