Ulega ameagiza Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) kuanza kuweka taa katika barabara kuu inayoelekea mikoa ya Kusini ili kukuza shughuli za kiuchumi katika maeneo inakopita. Waziri huyo ambaye sasa ...
Ili kuonyesha maudhui haya X (Twitter) maudhui, unahitaji kuidhinisha kipimo cha hadhira na vidakuzi vya matangazo. Kubali Dhibiti chaguo langu Ili kuunga mkono juhudi za serikali ya Tanzania ...
Serikali kupitia Wizara ya Fedha inatarajia kukusanya sh bilioni 100 kila mwaka kutokana na uwekezaji wa dola 20 milioni uliofanywa na kampuni ya ITHUBA Tanzania, iliyopata leseni ya miaka nane ...
Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kwa kushirikiana na Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) inafanya utafiti wa tatu wa hali ya upatikanaji na matumizi ya nishati katika mikoa yote ya Tanzania Bara ... ili ...
Staa wa Bongofleva, Nandy tayari ametangaza ujio wa albamu yake ya pili ambayo inatarajiwa kutoka mwaka huu ikiwa ni miaka tisa tangu alipotoka kimuziki na kibao chake, Nagusagusa (2016) chini ya ...
Rais wa DRC Félix Tshisekedi siku ya Jumatano, Januari 15, 2025, wakati wa baraza la mawaziri lisilo la kawaida, aliiomba serikali yake ... na Rais Félix Tshisekedi kurejesha amani katika mikoa ...
JUZI Rais Samia Suluhu Hassan alikutana na kufanya mazungumzo na mabalozi mbalimbali wanaowakilisha nchi zao Tanzania. Katika mazungumzo hayo ... anayoendelea kuonesha na kuhakikisha falsafa yake ya ...
“Tangu Jumatatu, mikoa ya Pwani, Dar es Salaam na mikoa ya kusini ikiwemo Lindi imekuwa na tatizo hili, TMA (Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania) ilitoa tahadhari ... na hali imeanza kurejea katika hali ...
Kulingana na chanzo hicho hatua hiyo ilifikiwa kufuatia mkutano kati ya Waziri Mkuu wa Qatar na wawakililishi wa Hamas na wawakilishi tofauti wa Israel katika ofisi yake. Ripoti katika vyombo vya ...
A suspected outbreak of the Marburg virus in Tanzania has killed at least eight people, the World Health Organization (WHO) says. In a statement on Tuesday, the global health agency said a total ...
Mfumo wa kidijitali unafadhiliwa na serikali ya Canada kupitia shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia watoto (UNICEF) nchini Tanzania umeanza kuonesha mafanikio katika kurahisisha huduma kama vile ...