KAMATI ya Bunge ya Bajeti, imesema kiwango cha uhimilivu cha Mfuko wa Pensheni kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) ni asilimia 36.4 ...
KAMATI ya Bunge ya Bajeti imesema hadi kufikia Juni, 2024 deni la Serikali lilikuwa Sh.Trilioni 96.8 sawa na ongezeko la ...
BARAZA la Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Kibaha limeagiza halmashauri hiyo kuwaua mbwa ambao hawana walezi ili kuepuka madhara ambayo yanaweza kutokea kutokana na mbwa hao. Wamefikia hatua hiyo ...
Jumla ya wanafunzi 11,524 kutoka kaya maskini zilizotambuliwa na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) wamenufaika na mkopo wa ...
MFUKO wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF), umetoa elimu ya Hifadhi ya Jamii na shughuli zinazotekelezwa na mfuko huo kwa wajumbe wa baraza la Wafanyakazi wa Mamlaka ya Vitambulisho vya T ...
Basi la timu ya Dodoma Jiji FC limepata ajali ya asubuhi hii maeneo ya Nangurukuru kuelekea Somanga mkoani Lindi likitokea ...
MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRC), umetaja athari tisa zilizosababishwa na uamuzi wa Rais wa Marekani, ...
MZUNGUKO wa pili wa Ligi Kuu Tanzania Bara umeanza, huku jumla ya wachezaji 50 wakiwa wamesajiliwa kipindi cha dirisha dogo ...
Kamanda wa Takukuru Mkoa wa Shinyanga, Donasian Kessy, hayo yamebainishwa, leo Februari 4, 2025 wakati akitoa taarifa kwa vyombo vya habari, kwa kipindi cha robo ya pili kuanzia Oktoba hadi Desemba ...
Hayo yamesemwa leo na Mkurugenzi Mkuu wa NEMC, Dk Immaculate Semesi wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusu tahadhari ya mvua ... jitihada zetu katika ujenzi wa Taifa. Amesema taarifa za ...
OFISI ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma, imewaita waombaji waliofaulu usaili wa nafasi za kazi mbalimbali kuchukua barua zao za kupangiwa vituo vyao ndani ya siku saba baada ya ...
tukimaliza tutatoa taarifa ya kurejea kwa ligi," alisema Ofisa Habari huyo. Aliongeza kwao hakutakuwa na athari yoyote, na uamuzi huo umewarahisishia kumaliza ligi kwa wakati kwa sababu walikuwa ...
Some results have been hidden because they may be inaccessible to you
Show inaccessible results