Jeshi la Polisi mkoani Pwani linamsaka Abdallah Mohamed (40), fundi friji mkazi wa Mataya, wilayani Bagamoyo, kwa tuhuma za kumuua mzazi mwenzake, Naomi Mwakajengele (28), mwalimu wa Shule ya Msingi M ...
BADO tunaendelea kutafakari mitihani ya kuhitimu kidato cha nne, inayofanyika Novemba mwaka jana na matokeo yake kutangazwa mwezi uliopita na Baraza la Taifa la Mitihani Tanzania (NECTA), ambayo yanaf ...
Mwenyekiti kamati ya Miradi na Ufundi ya Bodi ya Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA) Mhandisi Ngwisa ...
Kamati ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii imeridhidhwa na ujenzi wa mradi wa maktaba ya Chuo cha Ardhi Tabora (ARITA) ...
Jumla ya wanafunzi 11,524 kutoka kaya maskini zilizotambuliwa na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) wamenufaika na mkopo wa ...
KAMATI ya Bunge ya Bajeti, imesema kiwango cha uhimilivu cha Mfuko wa Pensheni kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) ni asilimia 36.4 ...
MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRC), umetaja athari tisa zilizosababishwa na uamuzi wa Rais wa Marekani, ...
TAASISI ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI), kwa kushirikiana na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Shirika la Utangazaji Tanzania ...
Basi la timu ya Dodoma Jiji FC limepata ajali ya asubuhi hii maeneo ya Nangurukuru kuelekea Somanga mkoani Lindi likitokea ...
BARAZA la Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Kibaha limeagiza halmashauri hiyo kuwaua mbwa ambao hawana walezi ili kuepuka madhara ambayo yanaweza kutokea kutokana na mbwa hao. Wamefikia hatua hiyo ...
MZUNGUKO wa pili wa Ligi Kuu Tanzania Bara umeanza, huku jumla ya wachezaji 50 wakiwa wamesajiliwa kipindi cha dirisha dogo ...
RAIS Samia Suluhu Hassan, amesema amesikitishwa na taarifa ya kifo cha Baba wa Taifa la Namibia na Rais wa Kwanza wa taifa ...
Some results have been hidden because they may be inaccessible to you
Show inaccessible results